

Lugha Nyingine
安司源政务密信助力“信安标委”评审大会实..
(CRI Online) Septemba 05, 2024
百度 在城市的发展过程中,对征用的土地不可能短时间内全部使用,搁置的地块由于没人管理,成了荒地,成为垃圾场和民居擅自开垦的菜地,既影响市容市貌,又影响附近民居生活。
Rais wa Comoro Bw. Azali Assoumani amesema, katika ushirikiano na nchi za Afrika, China siku zote imekuwa ikifuata kanuni za kutendeana kwa usawa na kushirikiana kwa mafanikio bila kujali ukubwa wa nchi, jambo ambalo limeweka msingi wa ushirikiano kati ya nchi za 'Dunia ya Kusini' na kuwezesha kujenga dunia ya haki ambayo maslahi ya pande zote yanalindwa.
Rais Azali amesema, katika miongo kadhaa iliyopita, China daima imefuata kanuni ya kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, na imejenga ushirikiano wenye manufaa na nchi za Afrika katika nyanja nyingi ikiwemo siasa, jamii, uchumi na maisha ya watu.
Rais Azali ameeleza matumani ya kujenga jumuiya ya ngazi ya juu ya Afrika na China yenye hatma ya pamoja katika siku zijazo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma