

Lugha Nyingine
女子拿链条锁老公 只因老公每天都要干这件事
![]() |
Picha hii iliyopigwa kwa simu ya mkononi ikionyesha askari wa Jeshi la Ukombozi wa Umma la China wakiwasili kukarabati barabara zilizobomoka katika kijiji kimoja cha Wilaya ya Luanping ya Mji wa Chengde, Mkoa wa Hebei, kaskazini mwa China, Julai 29, 2025. (Picha na Hou Yuchun/Xinhua) |
Jeshi la Ukombozi wa Umma la China, Jeshi la Polisi la China na wanamgambo wenyeji yametuma askari kujiunga na kazi ya utoaji msaada katika maeneo yaliyokumbwa na mafuriko nchini China.
Hivi karibuni, mvua kubwa mfululizo imeathiri maeneo ya mashariki, kaskazini na kaskazini mashariki mwa China, ikisababisha mafuriko na majanga ya kijiolojia ambayo yamesababisha vifo na majeruhi na hasara kubwa za mali. (Picha na Di Bowen/Xinhua)
Mandhari ya Kipekee ya Karst katika Mkoa wa Guizhou yavutia watalii
Tamasha la kimataifa la densi lafunguliwa katika Mkoa wa Xinjiang, China likiwa na maonyesho 52
Wakulima wa China wawa na pilikapilika za uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha Dashu
Maliasili nyingi za chumvi zaongeza mapato ya wanakijiji katika Wilaya ya Gegye, Xizang, China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma